JOKATE MWEGELO APATA MPENZI MPYA BAADA YA KUSEMA YUPO SINGLE

Muigizaji wa filamu Tanzania Jokate Mwegelo ambaye pia ni Miss Tanzania no.2 wa mwaka 2006 anaonekana tayari amepata mpenzi mpya baada ya kupost picha inayoonekana katka mtandao mmoja wa kijamii akiwa na mwanaume mmoja jina halijatambulika haraka wakiwa kimahaba zaidi. 

Wiki iliyopita Jokate ambaye pia ni mtangazaji wa  Channel O, mwanamuziki na designer alisema yupo single na anatafuta husband material.
JOKATE MWEGELO APATA MPENZI MPYA BAADA YA KUSEMA YUPO SINGLE JOKATE MWEGELO APATA MPENZI MPYA BAADA YA KUSEMA YUPO SINGLE Reviewed by Unknown on 08:13:00 Rating: 5
Powered by Blogger.