BAADA YA KUACHANA HAPO JUZI, SHILOLE NA MPENZI WAKE WARUDISHA MAPENZI UPYA.KAMA NDO"KWANZA WANAANZA

Nuh Mziwanda akiwa na mpenzi wake Shilole.
 Mapenzi ya Nuh Mziwanda na Shilole yaliripotiwa kuvunjika hivi karibu yamerudi kwa nguvu zaidi siku ya jana
wamesambaza  picha kupitia account zao Instagram wakiwa pamoja kama ishara ya mapenzi yao kuongezeka zaidi.
Nuh na Shilole wote waliweka picha instagram kuonyesha wamepatana na mapenzi yatadumu zaidi ya miezi kadha iliyotabiriwa.
BAADA YA KUACHANA HAPO JUZI, SHILOLE NA MPENZI WAKE WARUDISHA MAPENZI UPYA.KAMA NDO"KWANZA WANAANZA BAADA YA KUACHANA HAPO JUZI, SHILOLE NA MPENZI WAKE WARUDISHA MAPENZI UPYA.KAMA NDO"KWANZA WANAANZA Reviewed by Unknown on 08:13:00 Rating: 5
Powered by Blogger.