Joyce Kiria 'Chid Benz, Edzen, Dudubaya na TID Mwanamke Hapigwi Ngumi, Mmeishiwa Sera, Kapiganeni na Matumla
Ukatili
wa kijinsia haukubaliki hata kidogo, wengine tunapambana usiku na
mchana kutokomeza vitendo hivi vya Ukatili na Udhalilishaji, cha ajabu
watu maarufu sasaivi wamechachamaa kuendekeza vutendo hivyo..
mara Dudubaya akampiga Mke wake, mara Tid akamtukana RayC, Mara Chidbenz akampiga mzazi mwenzake, mara Ezden akampiga mkewe, mara Chidbenz kampiga RayC!!!! jamani jaman jamani kwanini mnachukua uamuzi huo wa kudhalilisha Wanawake???
ChidBenz, Tid, Ezden na Dudubaya nyie ni vioo kwenye jamii yetu, kwahiyo si vyema kufanya vitendo vya kuwapiga Wanawake na kuwadhalilisha...kwani nyie hamkoseagi? kuna siku mmepigwa? sisi sote ni watu wazima kwa hiyo kama tumeshindwana kila mtu anachukua 50 zake kwa Amani.....
Kuna msemo unasema kwamba Mwanaume wa kweli hapigi Wanawake wala kumdhalilisha Mwanamke kwa sababu Wanawake ni Mama zenu. vitendo mlivyowafanyia hao Wanawake mngependa Mama Zenu wafanyiwe???
ushauri: kama wewe unajiskia kupigana basi ni vyema ukaomba pambano na Matumla, Kaseba au Cheka ili tujue kama kweli wewe ni mpigaji..kinyume na hapo ni kuonea Wanawake na kuwadhalilisha kijinsia....
Nawaheshimu sana kama wasanii lakini naomba mjirekebishe tena kuanzia sasa muwe mabalozi wa Kupambana na vitendo vya Ukatili na Udhalilishaji kwa Wanawake. na muwaombe radhi wale mliowapiga na kuwadhalilisha..
Nawakaribisha sana kwenye kipindi cha WanaumeLive ndani ya Wanawakelive tushirikiane sote kutokomeza vitendo vya Ukatili na Udhalilishaji kw Wanawake..
Ney wa Mitego naomba useme na hawa mastaa wenzako ambao naona hawajasikia ule ujumbe wako kwamba Mwanamke hapigwi na mangumi na mateke...waeleze Mwanamke anapigwa na nini! nakuita pia Linex utukumbushe ule ujumbe wako kwamba ndoa haivunjwi na mwanamke pekee bali hata Mwanaume nae aweza vunja ndoa (mahusiano) si lazima uwe umefunga ndoa.
sasa inapotokea mmeshindwa kuelewana au kukubaliana haifai utumie Nguvu ndidi ya Mwanamke wako.. kama mkishindwana mnaachana kwa Amani, msiachane na kutuachia Mangeu...
mara Dudubaya akampiga Mke wake, mara Tid akamtukana RayC, Mara Chidbenz akampiga mzazi mwenzake, mara Ezden akampiga mkewe, mara Chidbenz kampiga RayC!!!! jamani jaman jamani kwanini mnachukua uamuzi huo wa kudhalilisha Wanawake???
ChidBenz, Tid, Ezden na Dudubaya nyie ni vioo kwenye jamii yetu, kwahiyo si vyema kufanya vitendo vya kuwapiga Wanawake na kuwadhalilisha...kwani nyie hamkoseagi? kuna siku mmepigwa? sisi sote ni watu wazima kwa hiyo kama tumeshindwana kila mtu anachukua 50 zake kwa Amani.....
Kuna msemo unasema kwamba Mwanaume wa kweli hapigi Wanawake wala kumdhalilisha Mwanamke kwa sababu Wanawake ni Mama zenu. vitendo mlivyowafanyia hao Wanawake mngependa Mama Zenu wafanyiwe???
ushauri: kama wewe unajiskia kupigana basi ni vyema ukaomba pambano na Matumla, Kaseba au Cheka ili tujue kama kweli wewe ni mpigaji..kinyume na hapo ni kuonea Wanawake na kuwadhalilisha kijinsia....
Nawaheshimu sana kama wasanii lakini naomba mjirekebishe tena kuanzia sasa muwe mabalozi wa Kupambana na vitendo vya Ukatili na Udhalilishaji kwa Wanawake. na muwaombe radhi wale mliowapiga na kuwadhalilisha..
Nawakaribisha sana kwenye kipindi cha WanaumeLive ndani ya Wanawakelive tushirikiane sote kutokomeza vitendo vya Ukatili na Udhalilishaji kw Wanawake..
Ney wa Mitego naomba useme na hawa mastaa wenzako ambao naona hawajasikia ule ujumbe wako kwamba Mwanamke hapigwi na mangumi na mateke...waeleze Mwanamke anapigwa na nini! nakuita pia Linex utukumbushe ule ujumbe wako kwamba ndoa haivunjwi na mwanamke pekee bali hata Mwanaume nae aweza vunja ndoa (mahusiano) si lazima uwe umefunga ndoa.
sasa inapotokea mmeshindwa kuelewana au kukubaliana haifai utumie Nguvu ndidi ya Mwanamke wako.. kama mkishindwana mnaachana kwa Amani, msiachane na kutuachia Mangeu...
Joyce Kiria 'Chid Benz, Edzen, Dudubaya na TID Mwanamke Hapigwi Ngumi, Mmeishiwa Sera, Kapiganeni na Matumla
Reviewed by Unknown
on
02:52:00
Rating:
![Joyce Kiria 'Chid Benz, Edzen, Dudubaya na TID Mwanamke Hapigwi Ngumi, Mmeishiwa Sera, Kapiganeni na Matumla](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgI9AytkLXpB1HYuRyjwljo-rfqCrAR2F3Qo8Dard1C1Whvd3nIHN2Pck7aCXtIMmX1FOloZypWb-enss60DGukZ0RKM3cTCUqGKC-fNrzjK-zeHSQySxYOeRDGrbgrgpBCjFQK1bO9Bfs8/s72-c/matumla.jpg)