Nay afunguka mara ya kwanza kuhusu ishu ya kulea mtoto asie wake. Asema haya


Siwema ambaye Nay anadai kumfumania kitandani akiwa na mwanaume mwingine mjini Mwanza hivi karibuni, alisema Curtis si mtoto wa Nay, bali wa mwanaume mwingine ambaye hata hivyo hamtaji. Akizungumza na paparazi wetu hivi karibuni, Nay alisema katika mambo yanayomshangaza na kumfedhehesha ni pamoja na ishu ya mzazi mwenzake kuropoka kuwa Curtis si mwanaye, kwani anaamini hayo ni maneno ya hasira na yeye ataendelea kumpenda mtoto wake.
Nay afunguka mara ya kwanza kuhusu ishu ya kulea mtoto asie wake. Asema haya
Reviewed by CapchaMuzic
on
00:17:00
Rating:
