Sijui Kikwete Analipwa kwa nini na Lipi Wakati ni Mzururaji?


 
Juzi alikuwa nchini Kenya kwenye mkutano wa wakuu wa EAC. Kabla ya hapo alikuwa Davos.Naddhani muda anakaa ikulu na Tanzania ni mdogo kuliko anaokaa kwenye ndege. Hakika kikwete ataingia kwenye vitabu vya historia kama rais wa hovyo, Dhaifu , Fisadi na mzururaji aliyewahi kutokea katika historia ya Tanzania.Laiti tungemwelewa baba wa taifa Marehemu Mwl Julius Nyerere tusingechagua hasara na sanaa kukaa ikulu kwa miaka kumi.
Credit:FreeThinking
Sijui Kikwete Analipwa kwa nini na Lipi Wakati ni Mzururaji? Sijui Kikwete Analipwa kwa nini na Lipi Wakati ni Mzururaji? Reviewed by CapchaMuzic on 23:03:00 Rating: 5
Powered by Blogger.