Demu Kutoka Kenya TIARA Anayemtaka Kimapenzi Diamond Aingizwa Mkenge na Diamond PLatnumz


 
Demu wa Kenya anayejulikana kama TIARA ambae alishindwa kurficha hisia zake na kutuma Video na Picha za MItego Diamond kwa kupitia Udaku Special Blog Amethibitisha kuwa baada ya Video na picha zake kusambaa alitafutwa na Diamond PLatnumz na kuanza kuchat nae na kutumiana picha mbalimbali mpaka ikafika mahala akasema anamtumia Ticket za kuja Dar wafanye yao pamoja na Collabo ya Mziki....Lakini cha kushangaza mpaka leo Ticket azijatumwa.....sasa baada ya Ticket kutokutumwa na Diamond kukaa kimya ilibidi kuanza kufanya uchunguzi kuhusu huyo Diamond na Mwisho kugundua anachat na Diamond Fake...Anatumia jina la Diamond Kwenye Facebook anajiita:Diamond Wasafi Platnumz
 
Hizo hapo juu ni baadhi ya Meseji walizokuwa wanachat kabla ya kugundua sio Diamond wa Ukweli.....
TIARA amesema bado hajakata taa na anasema Diamond kama anasoma habari hii soon atakuja Tanzania yeye mwenyewe kukutafuta Face to Face mpaka kieleweke
Demu Kutoka Kenya TIARA Anayemtaka Kimapenzi Diamond Aingizwa Mkenge na Diamond PLatnumz Demu Kutoka Kenya TIARA Anayemtaka Kimapenzi Diamond Aingizwa Mkenge na Diamond PLatnumz Reviewed by CapchaMuzic on 23:16:00 Rating: 5
Powered by Blogger.