Kauli ya Spika wa Bunge Anne Makinda kuhusu sakata la Escrow Hapo Jana
Spika wa Bunge Anne Makinda amesema sio kazi yake kuwasimamisha wenyeviti wa Kamati za Bunge ambao wanatuhumiwa na ishu ya fedha za Escrow badala yake ni wao wenyewe kujiondoa kama njia ya kutii maazimio yaliyopitishwa na Bunge ambayo yanawataka kuwajibika.
“Azimio linasema viongozi wa Kamati hizi watawajibika kwenye Kamati zao, tusibadilishe maneno. Naona na gazeti lingine linasema hawajajiuzulu, what is that? Suala la azimio kwamba viongozi hawa watatu wa Kamati wajiuzulu”—Anne Makinda
Kauli ya Spika wa Bunge Anne Makinda kuhusu sakata la Escrow Hapo Jana
Reviewed by CapchaMuzic
on
23:39:00
Rating: