Inasemekana Huyu ndio Mwanamuziki anaemiliki Dem Mkali kulikowote East Africa..... Muone hapa
Mpenzi wa rapa Jay A kutoka Kenya ametingisha mitandao kwa uzuri
wake. Jay A ametumia mtandao kumtangaza rasmi mpenzi wake aliyemuweka
siri kwa miezi kadha sasa. Dada huyu anaitwa Maryanne Komu na
imeripotiwa kuwa Jay A alikuwa naye toka anafanya juhudi za kupenya
kwenye game la rapa Kenya.
Inasemekana Huyu ndio Mwanamuziki anaemiliki Dem Mkali kulikowote East Africa..... Muone hapa
Reviewed by CapchaMuzic
on
06:14:00
Rating: