AFISA USALAMA FEKI, SILAHA ZAKAMATWA NA POLISI
Tukio la mwisho lililomfanya akamatwe ni pale alipomtishia mfanyabiashara mwenye asili ya Kisomali aitwaye Abdi Dalmar, ili ampe Tshs 25,000,000/= ama sivyo angechukua hatua chini ya Sheria ya Usalama wa Taifa.
Aidha jeshi hilo katika kuendesha oparesheni zake za kutokomeza ujambazi wa kutumia silaha limefanikiwa kukamata bastola nne na shot-gun moja wiki hii.
AFISA USALAMA FEKI, SILAHA ZAKAMATWA NA POLISI
Reviewed by CapchaMuzic
on
09:18:00
Rating: