NAY WA MITEGO NDIYE MWIBA WA NDOA YA WEMA NA DIAMOND!SOMA

 Wema Sepetu akiwa na mpenzi wake 'Diamond Platinum'.
IMEVUJA kwamba Staa wa Bongo Fleva, Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’ ndiye aliyemshauri Nasibu Abdul ‘Diamond’ asioe kwa sasa ili asishukekimuziki.
Staa wa Bongo Fleva, Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’Ushauri huo umekuwa mwiba kwa mpenzi wa Diamond, Wema Sepetu ambaye amekuwa na ndoto ya kuolewa na staa huyo anayekimbiza kitaani na wimbo wake wa Mdogomdogo. Akifafanua zaidi kuhusiana na ushauri huo, Nay alisema: “Kuna mifano mingi sana nimeiona kutoka kwa wasanii ambao wameoa, wengi wao wameshasanda sasa mdogo wangu (Diamond) na yeye alipoleta hoja ya kutaka kuoa nikaona sasa anatafuta shimo la kwenda kujifukia, nikamshauri aache.”
NAY WA MITEGO NDIYE MWIBA WA NDOA YA WEMA NA DIAMOND!SOMA NAY WA MITEGO NDIYE MWIBA WA NDOA YA WEMA NA DIAMOND!SOMA Reviewed by Unknown on 01:52:00 Rating: 5
Powered by Blogger.