KATI YA JAMAA HAWA WAWILI NANI ATAKAUA ANATOKA NA DADA YETU JOHARI....BAADA YA FIGISUFIGISU YAPENZI LAKE?!!!
Waswahili
wanasema penzi ni kikohozi..na ukitaka mapezi ya siri basi fanya na
bubu.....hehehehe Hiyo yote ni misemo tu...TURUDI KWENYE KICHWA CHA
STORY.
Sasa nimekuletea na wewe msomaji wangu uzionepicha hizo na useme ni yupi atakuwa amerithi shamba....
KATI YA JAMAA HAWA WAWILI NANI ATAKAUA ANATOKA NA DADA YETU JOHARI....BAADA YA FIGISUFIGISU YAPENZI LAKE?!!!
Reviewed by Unknown
on
03:21:00
Rating: