SIKUWAHI KUFIKIRIA NAWEZA KUFANYA MAPENZI NA MTU NISIYE MJUA TENA KWENYE BASI
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiD5nyJu6K5X7ryXb5igme8JP_G0zLSGBYiAAwS58XZiHA4so6yggwMnZThv03N78RZ2ciUI0HPY3m3YelC85b0jPEPhOl0YDXKYY-TDYWgP0LMUTVhjZPuOaOlQO1jjGOOeNBRBJp_jVn4/s400/simuoni.jpg)
Mimi ni Msichana wa Miaka 25 Ilikuwa Week iliyopita nikiwa Safarini naenda Mwanza kutokea Dar Kuripoti kazini Baada ya kupata kazi mpya huko, Nikiwa Kwenye basi pembeni yangu nilikaa na Kaka mtanashati na mchangamfu toka tumetoka Ubungo Terminal kaka wa watu alikuwa akinipigisha stories mbali mbali kiasi niliona kama safari fupi , ki ukweli nilipenda uchangamfu wake ,Mambo yalianza tulivyofika Shinganya muda kama wa saa tatu usiku tukiwa sasa tunaelekea Mwanza , Pale Shinyanga waliteremka watu wengi kidogo kiasi Kwenye Basi Upande wa Nyuma tuliokuwa tumekaa Sisi hapakuwa na watu bali mimi na huyu mkaka..Na Kigiza kile yule kaka alianza kunishika mkono wangu nilisisimka balaa mpaka sikumbuki ilikuwaje tukajikuta tunakiss na kuanza mambo mengine ya kikubwa humo humo kwenye basi ..Kwa vile ilikuwa giza hakuna aliyeshtukia , Ki ukweli nilienjoy sana..Sintasahau ...Yule kaka Baada ya Kufika Mwanza alinipa Namba ya Simu ila Nimejaribu sana Haipatikani ....Sijui nifanyaje Natamani kumuona Tena ...
SIKUWAHI KUFIKIRIA NAWEZA KUFANYA MAPENZI NA MTU NISIYE MJUA TENA KWENYE BASI
Reviewed by Unknown
on
02:56:00
Rating:
![SIKUWAHI KUFIKIRIA NAWEZA KUFANYA MAPENZI NA MTU NISIYE MJUA TENA KWENYE BASI](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiD5nyJu6K5X7ryXb5igme8JP_G0zLSGBYiAAwS58XZiHA4so6yggwMnZThv03N78RZ2ciUI0HPY3m3YelC85b0jPEPhOl0YDXKYY-TDYWgP0LMUTVhjZPuOaOlQO1jjGOOeNBRBJp_jVn4/s72-c/simuoni.jpg)