Kuhusu tukio la Jamaa aliyempasua kichwa mtoto kisha kula ubongo wake.
Asubuhi ya July 18 kutoka Moshi zilitoka taarifa za mfanyakazi wa ndani wa kiume [Houseboy] kumpasua kichwa mtoto mdogo wa darasa la 3 kisha ubongo wake kuamua kuutafuna.
Baada ya kumaliza tukio hilo kilichofuata ni yeye kujikata sehemu zake za siri,Hapa utawasikiliza mashuhuda wa tukio hili pamoja na kamanda wa polisi mkoa wa Kilimanjaro.
Kuhusu tukio la Jamaa aliyempasua kichwa mtoto kisha kula ubongo wake.
Reviewed by Unknown
on
04:29:00
Rating: