LADY JAY DEE : BAADA YA KUSHINDA TUZO YA AFRIMA AFUNGUKA

IJUE JUMLA YA IDADI YA TUZO ALIZOZIPATA LADY JAYDEE MPAKA SASA__TEAM UKWANZA SOMA HAPA
Mwanadada Lady Jaydee alimaharufu kama Binti Machozi wa TEAM ANACONDA, leo ameweka wazi kua tangu alipo anza mziki mpaka sasa baada ya kupata tuzo ya mwanamziki bora wa kike wa Afrika Mashariki ya Afrimma iliyofanyika nchini marekani kua ndo tuzo ambayo mpaka sasa imekamilisha idadi ya jumla ya tuzo thelathini (30) ambazo amezipokea mpaka sasa.

Hili kaweka wazi leo katika ukurasa wake wa facebook. TEAM UKWANZA inapeleka hongera zake kwa mwanadada Lady Jaydee
(Commando) kwa mafanikio makubwa aliyoyapata kutokana na hii tasnia ya muziki, Hongera sana LADY JAYDEE
LADY JAY DEE : BAADA YA KUSHINDA TUZO YA AFRIMA AFUNGUKA LADY JAY DEE : BAADA YA KUSHINDA TUZO YA AFRIMA AFUNGUKA Reviewed by Unknown on 06:51:00 Rating: 5
Powered by Blogger.