Video: Papa Wemba afariki dunia baada ya kuanguka jukwaani

Muimbaji huyo maarufu amefariki akiwa Abidjan, Ivory Coast amefariki baada ya kuanguka ghafla wakati akitumbuiza kwenye tamasha la muziki la Anoumabo (FEMUA). Inadaiwa kuwa alishikwa na kifafa.
Video: Papa Wemba afariki dunia baada ya kuanguka jukwaani
Reviewed by CapchaMuzic
on
12:43:00
Rating:
