JOKATE ASEMA KUNA MWANAUME ANAETAMANI KIMAPENZI...UNAJUA NI NANI HUYU HAPAAAAAAAAAAA
Mwanamitindo, mbunifu na Miss Tanzania namba mbili mwaka 2006, Jokate Mwegelo aka ‘Kidoti’ amesema kuwa kuna mtu anamtamani sana kimapenzi.
Akizungumza na The playlist ya Times Fm hivi karibuni, Kidoti alisema hayo akihusisha ukweli huo na kile alichokiimba kwenye wimbo wake uitwao ‘Leo leo’ aliyomshirikisha Ice Prince wa Nigeria.

Akizungumza na The playlist ya Times Fm hivi karibuni, Kidoti alisema hayo akihusisha ukweli huo na kile alichokiimba kwenye wimbo wake uitwao ‘Leo leo’ aliyomshirikisha Ice Prince wa Nigeria.
“Yah nyimbo inahusiana coz kuna mtu namtamani sana yani, ila akizingua tu nambwaga bado namuangalia” alisema Jojo
Hata hivyo Jokate hakuwa tayari kumtaja mtu huyo anayemtamani.
Source:Times Fm
JOKATE ASEMA KUNA MWANAUME ANAETAMANI KIMAPENZI...UNAJUA NI NANI HUYU HAPAAAAAAAAAAA
Reviewed by CapchaMuzic
on
02:36:00
Rating:
Reviewed by CapchaMuzic
on
02:36:00
Rating: