Mtoto wa ajabu azaliwa Hospitali ya Mkoa Shinyanga

Maskini Huyu mtoto amezaliwa usiku wa kuamkia leo katika hospitali ya serikali ya Shinyanga akiwa na Vingo sehemu zisizo sahihi na baada ya muda alifariki Dunia Najiuliza kwa Sauti
Je nini Sababu za Watoto Kama Hawa ? Kwani matukio ya wazazi kujifungua watoto wa ajabu yamekuwa mengi nyakati hizi....
Mtoto wa ajabu azaliwa Hospitali ya Mkoa Shinyanga
Reviewed by CapchaMuzic
on
11:44:00
Rating:
Reviewed by CapchaMuzic
on
11:44:00
Rating: