Wema Sepetu Achoka Skendo Kila Siku Sasa anataka Kuolewa na Kutulia
Wema Sepetu amechoka mahusiano ya Boyfriend na Girlfriend muigizaji huyo wa Filamu sasa anataka kutulia
%252B%25E2%2580%25A2%252BInstagram%252Bphotos%252Band%252Bvideos%252B2015-02-07%252B11-12-41.png&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
%252B%25E2%2580%25A2%252BInstagram%252Bphotos%252Band%252Bvideos%252B2015-02-07%252B11-12-41.png&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
Wema aliyasema hayo jana kwenye kipindi chake cha In My Shoel baada ya kuulizwa na Meneja wake Martin Kadinda kwa nini ana 'kiki' kwa sasa
Miss tanzania huyo wa mwaka 2006 alijibu kuwa kuna vitu vingi anataka kufanya ikiwemu kuwa na hamu ya kuwa mke wa mtu
Hata hivyo wema hakutaka kumuweka wazi mume wake mtarajiwa na kumuambia meneja wake Martin kuwa na Subira
Wema Sepetu Achoka Skendo Kila Siku Sasa anataka Kuolewa na Kutulia
Reviewed by CapchaMuzic
on
11:19:00
Rating:
Reviewed by CapchaMuzic
on
11:19:00
Rating: