Mzazi Awatishia Mabinti zake Wasipo Olewa Hadi Machi Wajiandae Kugegedwa na yeye

Wadau nimeombwa kwenda kusuluhisha mgogoro wa familia ya jirani kesho
asubuhi. Katika hali isiyo ya kawaida mabinti watatu wa familia
wamenijia usiku huu,kwamba baba yao amewatishia kwamba ifikapo machi
wawe wameolewa wote vinginevyo atawagegeda wote watatu kila mmoja kwa muda wake.
Mabinti hao mmoja ana miaka 30 , wa pili 27 na wa mwisho 24 . Maelezo ya
mabinti hao wanasema kweli mzazi wao huyo kadhamiria kwani mara nyingi
mama yao anapokuwa hayupo wakipita karibu naye huwa anawapiga kofi
kwenye makalio .
Hao mabinti wameeleza matukio mbalimbali ambayo yanaonyesha dhahiri
kwamba baba yao amedhamiria kweli kuwagegeda kama atapata nafasi .
Huyu binti wa kati ameeleza kwamba mara kwa mara babake huwa anamsifia
kwamba ana makalio makubwa yanayopendeza na kuna siku alimwita chumbani
ampelekee maji akamshika mkono bahati nzuri akakimbia.
kila binti ameshawahi kukutana na maswahibu hayo. Kinacho onekana
kumponza mzee huyo ni tamaa zake tu za kishetani wazee wa kidigitali ni
shida.
Sasa nimeona kabla sijafanya lolote niwashirikishe wadau.
Mzazi Awatishia Mabinti zake Wasipo Olewa Hadi Machi Wajiandae Kugegedwa na yeye
Reviewed by CapchaMuzic
on
14:17:00
Rating:
Reviewed by CapchaMuzic
on
14:17:00
Rating: