Mwanamke Amuuwa Mwenzake kwa Kumwagia Mafuta ya taa na Kumchoma Moto baada ya Kumfumania na Mumewe


Mkazi wa kijiji cha Ibosa,kata ya Nyakato,Bukoba Vijijini,Amelia Richard (50) anatuhumiwa kumuua mwanamke mwenzake kwa kummwagia mafuta ya taa na kumchoma moto baada ya kumfumania na mumewe.
Mwanamke Amuuwa Mwenzake kwa Kumwagia Mafuta ya taa na Kumchoma Moto baada ya Kumfumania na Mumewe Mwanamke Amuuwa Mwenzake kwa Kumwagia Mafuta ya taa na Kumchoma Moto baada ya Kumfumania na Mumewe Reviewed by CapchaMuzic on 03:54:00 Rating: 5
Powered by Blogger.