Mtoto Afungiwa kwa Kutumia Mnyororo Kwenye Kitanda cha chuma kwa Muda wa Miaka Miwili
Tukio hilo lilitokea jana Iringa mjini maeneo ya kihesa,baada ya majirani kutoa taarifa kwenye serikali ya mitaa kuwa kuna babu anamfungia ndani na kumnyima chakula mtoto mwenye miaka 10 ambaye ni mlemavu wa akili

Picha kama mnavyoiona hapo,dada wa kazi wa binti babu huyo sasa bado yupo kiyuo cha polisi hapa mjini kwa mahojiano zaidi
Mtoto Afungiwa kwa Kutumia Mnyororo Kwenye Kitanda cha chuma kwa Muda wa Miaka Miwili
Reviewed by CapchaMuzic
on
04:11:00
Rating:
Reviewed by CapchaMuzic
on
04:11:00
Rating: