Hili ndio Gari Jipya la Diamond Platnumz
%2B%E2%80%A2%2BInstagram%2Bphotos%2Band%2Bvideos%2B2015-02-05%2B01-01-54.png)
Katika Interview mbili nime wai kumsikia Diamnd akisema "kama ninafanya kazi kwa bidii lazima niishi kwenye Maisha mazuri, pia nipate viyu vizuri ninavyo vitaka"
kwa hii picha ya Diamond aliyopost kwenye Instagram labla ndio anaendelea kutimiza ndoto zake japo hakuandika chcochote na kuweka gari hili lisilo na Namba,huku mashabiki wakianza kumpongeza
Hili ndio Gari Jipya la Diamond Platnumz
Reviewed by CapchaMuzic
on
01:08:00
Rating:
Reviewed by CapchaMuzic
on
01:08:00
Rating: