Zari Amwambia Wema Sepetu Atulie Diamond Sio Mume wala Mchumba wa Mtu
![]() |
Zari Ameibuka na kumwambia Wema Sepetu
kuwa Diamond Sio Mume wa mtu na wala sio mchumba wa mtu kwa sasa hivyo
kitendo cha yeye kutoka out naye ni sawa kwani ni maamuzi ya Diamond
Mwenyewe kwa vile kwa sasa yupo huru kabisa..Hivyo Wema Sepetu na Team
yake wakae Kimya Waangalie tu jinsi Project inavyokwenda kwani muda wake
wa kujivinjari na Diamond ulishapita....
Mweee.. Ndimu zikuwapi
Zari Amwambia Wema Sepetu Atulie Diamond Sio Mume wala Mchumba wa Mtu
Reviewed by CapchaMuzic
on
02:46:00
Rating:
Reviewed by CapchaMuzic
on
02:46:00
Rating:
