Lulu Michael 'Mambo Yakimapenzi Yamepitwa na Wakati Kwangu'
Stori: Hamida Hassan na Gabriel Ng’osha
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgUrKgkTn1HL0-asZBdhEadlTycwIcWOpE8MfjC53k2U9Oh9b-kVEy8tMbr5EWmOr2FoHVYLnr53PQfIGxjXScU5L5b0R5sfw0QFXb6iKgFMkVul-MUP_TQ-vfJbx1S-dcAYdvlsVyd0nE/s1600/lulu+michael+full.png)
Akimwaga cheche mbele ya mwanahabari wetu, Lulu alisema siku hizi wanaume wengi wanawafanya wasichana watumie nguvu kutetea penzi kutokana na migogoro isiyokuwa na msingi.
“Bora nguvu zangu nizihifadhi za kuendea leba kuliko kuzipoteza katika mapenzi kwani hayo mambo yamepitwa na wakati kabisa,” alisema Lulu.
Lulu Michael 'Mambo Yakimapenzi Yamepitwa na Wakati Kwangu'
Reviewed by CapchaMuzic
on
01:35:00
Rating:
![Lulu Michael 'Mambo Yakimapenzi Yamepitwa na Wakati Kwangu'](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgUrKgkTn1HL0-asZBdhEadlTycwIcWOpE8MfjC53k2U9Oh9b-kVEy8tMbr5EWmOr2FoHVYLnr53PQfIGxjXScU5L5b0R5sfw0QFXb6iKgFMkVul-MUP_TQ-vfJbx1S-dcAYdvlsVyd0nE/s72-c/lulu+michael+full.png)