Chief Kiumbe yupo lupango Dodoma, akabiliwa na kesi mbili

Ni bahati mbaya ila ukweli ni kwamba Muhongo, Werema, na Maswi ni maswahiba wa kutoka sehemu moja ya nchi na hivyo kujikuta wakitumia vijana wao wa kazi kudhibiti anguko lao.
Wizi huu ni wa aibu sana kwa taaluma zao na watu wao. Inasadikika chief Kiumbe aliwahi ama bado ni jambazi hasa pale ambapo rafiki yake ambaye siku zote chief anamkumbuka sana aliuwawa kwa risasi kwenye tukio la ujambazi.
Ni ripoti kutoka Dodoma ni mimi
Chief Mkwawa- mpaka hapo baadaye kwenye saga la ESCROW- hakuna kuzuia mafuriko kwa viganja.
Chief Kiumbe yupo lupango Dodoma, akabiliwa na kesi mbili
Reviewed by CapchaMuzic
on
11:49:00
Rating:
