MTIKISIKO! MSOMI WA KIISLAMU ALIYEFUNGUA MSIKITI WA MASHOGA NA WASAGAJI ATIKISA DUNIA,ARUHUSU WANAWAKE KUWA MAIMAMU KUSWALI PAMOJA NA WANAUME ATISHIWA KIFO ASEMA AJALI

Taj Hargey  
Taj Hargey denies going against Muslim teaching
A woman listens to the sermon during the opening of the Open Mosque, on September 19, 2014 in Wynberg, Cape Town. Women will be allowed to preach and pray alongside men
A Muslim man (R) argues with people going to the opening of the Open Mosque, on September 19, 2014 in Wynberg, Cape Town. Some Muslim groups are opposed to the mosque
Taj Hargey,Profesa anaejiita kuwa ni  msomi wa kiislamu amefungua rasmi msikiti ambao anasema wapenzi wa jinsia moja wataruhusiwa kusali ndani na wanawake wataruhusiwa kuendesha ibada kama ma-imamu!
Hii ni picha ya kupokea vitisho vya kuuwawa na kukosolewa sana na baadhi ya watu na makundi mbalimbali ya kiislamu.
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiT-ghsliQDwJmXSaEmrHVrl2QKxcuY0VARvWnI6-aUd9shPvak3U4NmH9MAT40RXLksCR-13oMAhFyXeqCKG3_9zOe_DjgwkcYL5Zlft7joH8hZl__oFVAoU468bsMsjBo69qvJhp5n58/s1600/masjid_islam_sesat.jpg
"Wanawake wataruhusiwa kuongoza ibada katika msikiti wa Taj Hargeyambao pia unajulikana kwa jina la O pen Mosque mjini Cape Town,ameeleza katika hotuba ya ufunguzi wa msikiti huo.
"Tunaufungua msikiti huu kwa watu wanaowakubali wenzao bila bila ya kuwabagua alisisitiza bwana Hargey.
Anasema msikiti huo utaweza kusaidia kukabiliana na itikadikali za kiislamu ambazo zinaendelea kukita mizizi katika jamii.
Bwana Hargey ambaye ni profesa katika chuo cha mafunzo cha kiislamu mjini Oxford,Uingereza ameiambia huu ni wakati wa mageuzi kidini.
"Miaka 20 iliyopita Afrika kusini ilishuhudia mageuzi yaliyofanywa kwa njia ya amanikutoka katika enzi za ubaguzi warangi hadi kwa demokrasia na tunahitaji kuwa na hali kama hiyokatika dini"halisema bwana Hargey

MTIKISIKO! MSOMI WA KIISLAMU ALIYEFUNGUA MSIKITI WA MASHOGA NA WASAGAJI ATIKISA DUNIA,ARUHUSU WANAWAKE KUWA MAIMAMU KUSWALI PAMOJA NA WANAUME ATISHIWA KIFO ASEMA AJALI MTIKISIKO! MSOMI WA KIISLAMU ALIYEFUNGUA MSIKITI WA MASHOGA NA WASAGAJI ATIKISA DUNIA,ARUHUSU WANAWAKE KUWA MAIMAMU KUSWALI PAMOJA NA WANAUME ATISHIWA KIFO ASEMA AJALI Reviewed by CapchaMuzic on 03:51:00 Rating: 5
Powered by Blogger.