UKUBALI UKATAE !!, MADHARA YA KUFANYA MAPENZI KUPITA KIASI

Katika hali ya kawaida kufanya mapenzi kuna faida nyingi, lakinilinapokuja suala la kuzidi kiasi tunapata matatizo ya msingi ambayohuleta madhara kwa watu wanaoendekeza sana ngono.Kuna watu ambao hawezi kulala bila kufanya mapenzi na huku wenginewakikosa uwezo wa kuvumilia hata kwa siku mbili au tatu.Mtu anaweza kuwa na mke na kujikuta kila siku anatumia ‘chakula chausiku’ kwa sababu tu hakuna wa kumkataza na kwamba ana haki ya kufanyahivyo kwa sababu amelipa mahari.Hilo linaweza kuwa jambo jema kwa upande mwingine, lakini uchunguziunaonyesha kuwa watu wengi kati ya watu wanaolalamika kupoteza hisia zakimapenzi hutoka katika kundi la watu wapenda ngono.Pamoja na tatizo hilo, yapo madhara mengine mengi ambayomtu asiyekuwana kiasi katika tendo la ndoa anaweza kukabiliana nayo, hivyo ni vematukajifunza ili tusiwe watu wa kuendekeza miili kiasi cha kulazimikakufanya mapenzi kila tunapokutana hata kwenye nguzoya umeme na chini yamiti kwa vile tu miili imetaka kufurahika.Twende pamoja katika kutazama madhara hayo kwa kina.KUPOTEZA HAMU YA TENDO.Watu wenye pupa za kufanya mapenzi hupoteza haraka hisia za kimapenzikwa wapenzi wao kutokana na sababu za kisaikolojia zinazowezakujitokezawakati wa ufanyaji wa tendo la ndoa mara kwa mara.Sababu hizo zinaweza kuwa ni pamoja na zile za kumzoea mwenza kiasi chakukosa msisimko hata anapomuona akiwa mtupu.Aidha kukinai haraka staili za kimapenzi kunatajwa kujitokeza kutokanana kukutana mara kwa mara kwaaina zile zile za mapenzi na penginesehemu moja, kitanda kimoja na chumba kile kile, jambo ambalo linawezakumfanya mhusika asione jipya kutoka kwa mwenza wake na hivyo kupotezahamu naye na kuhisi kama hawezi tena kushiriki tendo la ndoa kikamilifu.KUUJAZA MWILI TAMAA KUBWA.Tabia ya kufanya mapenzi mara kwa mara huongeza uzalishaji wahomonimwilini na kuufanya mwili uwe namsukumo mkubwa wa kutaka kuridhishwakwa tendo la ndoa bila kukosa na hivyo kumfanya mhusika asiwe mtu mwenyeuwezo wa kuzuia tamaa na kukosa chaguo la nani wa kufanya naye mapenzina kwa wakati gani?Watu wanaojiendekeza katika kufanya mapenzi mara kwa marandiyo waleambao kila wanayemtazama barabarani humtamani bila kujali hadhi yake.Hawa ndiyo wanaobaka, kusaliti ndoa zao hata kwa watumishi wa ndani aukufanya mapenzi na watoto wao wa kuwazaa kwa vile akili zao huwazimeathirika kwa tamaa ya mapenzi.Unapokuwa mtu wa kufanya mapenzi mara kwa mara huwezi kuwa na uwezo wakuzuia tamaa yako. Mumeo akiondoka siku mbili unatamani kuwa hata nahouseboy ili akukate kiu ya penzi.KUPOTEZA RAHA KAMILI YA TENDO.Raha ya tendo hutegemea sana hisia iliyokuzwa kutokana na mapenzi sahihina kiu ya kufanya mapenzi, hivyo basi ukiwa mtu wa kufanya mapenzi kilamara unaweza kupoteza msisimko wa tendo na kujikuta unapata furahaambayo haikutoshi kumaliza tamaa yako.Kama ni mapenzi utakuwa unayafanya kwa mazoea tu na msisimko wakoutakuwa mdogo!KUPOTEZA NGUVU ZA MWILI.Madhara mengine yanayoweza kupatikana kwa kufanya mapenzimara kwa marani pamoja na kupoteza nguvu nyingi za mwili.Kama tujuavyo tendo la ndoa hasa kwa wanaume huwafanya watumie nguvunyingi, hivyo kuufanya mwili uchoke. Aidha lishe inapokuwa ndogo kwawafanya mapenzi mwili hukosa nguvu za kutosha kuhimili misukosuko yakimaisha.Sambamba na hilo mbegu za uzazi zinazotoka kwa wanaume wanaofanyamapenzi mara kwa mara huwa dhaifu.KUPATA MAGONJWA.Kama tulivyojifunza kuwa watu wanaofanya mapenzi mara kwa mara huwa natamaa na hujikuta wanafanya mapenzi holela ambayo huweza kuwasababishiamagonjwa ya zinaa ukiwemo ukimwi, lakini ufanyaji wa mapenzi usiokuwa namsukumo wa kutosha hasa kwa wanawake huwafanya waishiwe msisimko nakuzifanya sehemu zao za siri kutotoa ute unaoweza kuwakingana michubukowakati wa kujamiiana na hivyo kuwasababishia michubuko itakayowezakuleta maambukizi ya haraka ya magonjwa ya zinaa ukiwemo ukimwi.
UKUBALI UKATAE !!, MADHARA YA KUFANYA MAPENZI KUPITA KIASI UKUBALI UKATAE !!, MADHARA YA KUFANYA MAPENZI KUPITA KIASI Reviewed by CapchaMuzic on 01:44:00 Rating: 5
Powered by Blogger.