KWANINI DIAMOND AMEMUACHA WEMA KWENYE TUZO ZA BET? WAKATI WEMA ALISHAPOST KUA ATAKWENDA?
Turudi kwenye mada:
Kama
unakumbuka vizuri kwenye tuzo za MTVMAMA...Msanii diamond aliongozana
na KIJIJI..yani ni kundi kubwa la watu, kuanzia kina tale, Fella, Aunt
Ezekiel, na wengine kibao akiwepo mama la mama yani Wema Sepetu:
BUT
hizi za BET naona kijana amepunguza timu na hadi mama la mama amepigwa
chini yani hajaibuka nae...Ukizingatia kwamba kupitia SOSHO MIDIA,
Wema Sepetu alishaleta mbwembwe za kuwenda kwenye tuzo hizo na kuonana
na ndugu zake wanaoishi huko marekani;
Mwezi uliopita kupitia INSTAGRAM Wema aliandika hivi:
" You two are reeeeeaaaally missed... But BET is jus around da corner... Ama see you guys soon... I love you dada zangu... #myBeautifulSisters#FirstBorn#ThirdBorn#sisterLove#unconditionalLove#PureLove#fromTheHeart������ @tsepetu @ssepetu @nsepetu .... Mmmmh i wonder kwanini na mimi sikuwa @wsepetu.... Tungetisha Sepetuzzzz.... ����"
by Wema Sepetu.
Sasa tunajiuliza je, jamaa aliona ni gundu kwenda nae (siunajua mambo ya kiswahili tena)? au nauli?
Hehehe yetu macho moshi tumeshauona.....Kabla sijakuacha ujiulize nawewe...Kingine tena hiki hapa....Tofauti na MTV Wema sasa hadi sasa hivi (muda huu naposti hii kitu)hajasema chochote kwenye mitandao ya kijamii kumtia moyo MUPENZI WAKE!!!!!
ITAFAHAMIKA TU...AU NDIO MWEZI MTUKUFU!!!
by Wema Sepetu.
Sasa tunajiuliza je, jamaa aliona ni gundu kwenda nae (siunajua mambo ya kiswahili tena)? au nauli?
Hehehe yetu macho moshi tumeshauona.....Kabla sijakuacha ujiulize nawewe...Kingine tena hiki hapa....Tofauti na MTV Wema sasa hadi sasa hivi (muda huu naposti hii kitu)hajasema chochote kwenye mitandao ya kijamii kumtia moyo MUPENZI WAKE!!!!!
ITAFAHAMIKA TU...AU NDIO MWEZI MTUKUFU!!!
KWANINI DIAMOND AMEMUACHA WEMA KWENYE TUZO ZA BET? WAKATI WEMA ALISHAPOST KUA ATAKWENDA?
Reviewed by Unknown
on
05:37:00
Rating: